KCMC YAPONGEZWA USHIRIKI KTK KKKT MARATHON 2026
Leo, tarehe 20 Juni 2026, Hospitali ya KCMC imepokea Cheti cha Shukrani na Utambuzi kwa mchango wake pamoja na kuwezesha ushiriki wa watumishi katika KKKT Marathon 2026 iliyofanyika jijini Arusha.
Kwa niaba ya uongozi wa KCMC, Mkurugenzi wa Tiba, Dkt. Sarah Urasa, alipokea cheti hicho kilichotolewa na Mgeni Rasmi, Mheshimiwa Baba Askofu Dkt. Alex Malasusa, kama ishara ya kuthamini ushiriki na mchango wa hospitali katika kuunga mkono mbio hizo zenye lengo la kugusa maisha ya jamii.
Related Stories