KCMC YAAMTUNUKU TUZO YA HESHIMAA
Pichani ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhiwa Tuzo ya Heshima kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya GSF/KCMC ambaye pia ni Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa kwenye sherehe za uzinduzi wa Jengo la Tiba Mionzi katika viwanja vya KCMC, Moshi Mkoani Kilimanjaro leo tarehe 24 Juni 2026.
Related Stories