MHE. RAISI AKIPATIWA MAELEZO KUHUSU VIFAA VYA TIBA MIONZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akipatiwa maelezo kuhusu vifaa vya Tiba ya Mionzi vilivyopo ndani ya jengo alilolizindua leo tarehe 24 hapa KCMC.
Maelezo hayo yamemuwezesha kujionea uwezo wa teknolojia iliyowekezwa katika kuboresha huduma za matibabu ya saratani na kuimarisha huduma za kibingwa nchini.
Endelea kufuatilia matukio haya muhimu moja kwa moja kutoka KCMC.
Related Stories