Processing...

News Room

BURUDANI ZINAENDELEA

BURUDANI ZINAENDELEA
BURUDANI ZINAENDELEA
BURUDANI ZINAENDELEA
+3 More Images
BURUDANI ZINAENDELEA
BURUDANI ZINAENDELEA
Wakati tukisubiri kuwasili kwa mgeni rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, mamia ya wananchi wanaendelea kuburudishwa na vikundi mbalimbali vya burudani. Nyimbo za vikundi vya dini, vyama mbalimbali pamoja na ngoma za asili zinaendelea kupamba jukwaa, zikionesha utajiri wa tamaduni zetu na katika siku hii ya kihistoria ya uzinduzi wa Jengo la Tiba ya Mionzi KCMC.

Related Stories

JUMUIYA YA WANAWAKE KATIKA NYUKLIA TANZANIA YAZURU KCMC
2026-08-13 00:00:00

JUMUIYA YA WANAWAKE KATIKA NYUKLIA TANZANIA YAZURU KCMC

READ ARTICLE
SNAKE ANTIVENOM ZAFIKA KCMC
2026-08-13 00:00:00

SNAKE ANTIVENOM ZAFIKA KCMC

READ ARTICLE
WATAALAMU WA DIALYSIS WAHITIMU KCMC
2026-08-13 00:00:00

WATAALAMU WA DIALYSIS WAHITIMU KCMC

READ ARTICLE

Join the Discussion

× Preview
🫀
CHANGIA JENGO LA MOYO
Saidia Ujenzi wa Cardiovascular Centre