TANGA KUSHIRIKI UJENZI
Leo tarehe 27/04/2026, Uongozi wa Hospitali ya KCMC pamoja na Uongozi wa Tanlink Health Care Foundation wamekutana na Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mjini Mhe. Dadi Kolimba lengo ni kujadili namna bora ya ushirikishwaji wa wananchi wa Tanga Mjini katika uchangiaji wa ujenzi wa Taasisi ya Moyo KCMC.
Related Stories