2026-04-24 00:00:00
•
uhurufmtz
•
5 min read
KCMC 'Ni mazungumzo na wananchi'.
Asubuhi ya leo tarehe 24/04/2026 Uongozi wa Hospitali ya KCMC ukiongozwa na Prof.Gileard Masenga pamoja na Uongozi wa Tanlink Health Care Foundation ukiongozwa na Dkt. Siraj Mtulia umeongea na watanzania kuhusiana na ujenzi wa Taasisi ya Moyo KCMC na namna bora ya uchangiaji wa mradi huo uliofikia asilimia 40 ya ujenzi wake.
@uhurufmtz
Related News