Processing...

News Room

KURUGENZI YA TIBA INAVYOIMARISHA IDARA ZAKE

KURUGENZI YA TIBA INAVYOIMARISHA IDARA ZAKE
KURUGENZI YA TIBA INAVYOIMARISHA IDARA ZAKE
KURUGENZI YA TIBA INAVYOIMARISHA IDARA ZAKE
+8 More Images
KURUGENZI YA TIBA INAVYOIMARISHA IDARA ZAKE
KURUGENZI YA TIBA INAVYOIMARISHA IDARA ZAKE
KURUGENZI YA TIBA INAVYOIMARISHA IDARA ZAKE
KURUGENZI YA TIBA INAVYOIMARISHA IDARA ZAKE
KURUGENZI YA TIBA INAVYOIMARISHA IDARA ZAKE
KURUGENZI YA TIBA INAVYOIMARISHA IDARA ZAKE
KURUGENZI YA TIBA INAVYOIMARISHA IDARA ZAKE
Mkurugenzi wa Huduma za Tiba - KCMC Dkt. Sarah Urasa wa kwanza mkono wa kulia akiambatana na Maafisa Utumishi na Utawala ameongoza kikao na watumishi wa Idara ya Patholojia kikilenga kujadili na kupanga masuala mbalimbali ya kiutendaji kwa mwaka 2026. Kikao hiki kimeangazia mikakati ya kuboresha utoaji wa huduma za afya, kuimarisha utendaji wa idara pamoja na kuweka vipaumbele vitakavyochangia huduma bora, za kisasa na zenye ufanisi kwa wagonjwa.

Related Stories

JUMUIYA YA WANAWAKE KATIKA NYUKLIA TANZANIA YAZURU KCMC
2026-08-13 00:00:00

JUMUIYA YA WANAWAKE KATIKA NYUKLIA TANZANIA YAZURU KCMC

READ ARTICLE
SNAKE ANTIVENOM ZAFIKA KCMC
2026-08-13 00:00:00

SNAKE ANTIVENOM ZAFIKA KCMC

READ ARTICLE
WATAALAMU WA DIALYSIS WAHITIMU KCMC
2026-08-13 00:00:00

WATAALAMU WA DIALYSIS WAHITIMU KCMC

READ ARTICLE

Join the Discussion

× Preview
🫀
CHANGIA JENGO LA MOYO
Saidia Ujenzi wa Cardiovascular Centre