Processing...

News Room

WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU

WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
+10 More Images
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
WALIOMALIZA MASOMO WAMSHUKURU MUNGU
Hospitali ya KCMC kwa kushirikiana na wadau mbalimbali imeandaa chai na chakula cha mchana kwa wagonjwa, ndugu wa wagonjwa, wanafunzi pamoja na watumishi wa KCMC, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Sikukuu ya Krismasi hapa KCMC. Hatua hii imelenga kuonesha upendo, mshikamano huku ikiwapa faraja na tabasamu wale wote waliopo hospitalini na wanaokuja kuona ndugu zao katika kipindi hiki cha sikukuu. Katika zoezi hili la kukarimu wagonjwa, ndugu wa wagonjwa, wanafunzi na watumishi marafiki wa KCMC wakiwemo Uchumi Bank, Bank of Africa, Kondiki Milk pamoja na Linda Mushi walishiriki zoezi la ugawaji wa chai na chakula cha mchana. Akizungumza kwa niaba ya ndugu wa wagonjwa, mmoja wa ndugu hao aliipongeza Hospitali ya KCMC kwa kuandaa chai na chakula hicho, akibainisha kuwa msaada huo umepunguza gharama za siku ya leo wakati alipokuja kumtembelea mgonjwa wake.

Related Stories

KCMC TUPO AICC
2026-05-09 00:00:00

KCMC TUPO AICC

READ ARTICLE
RADIOLOJIA YASONGA MBELE
2026-05-06 00:00:00

RADIOLOJIA YASONGA MBELE

READ ARTICLE
TANGA KUSHIRIKI UJENZI
2026-04-27 00:00:00

TANGA KUSHIRIKI UJENZI

READ ARTICLE

Join the Discussion

× Preview
🫀 CHANGIA JENGO LA MOYO